Mandamano ya kumshinikiza rais wa misri Hosni Mubarak wa Misri kung’atuka mamlakani yameingia wiki yake ya tatu maandamano ya masaa ishirini na manne yaliyopita yametajwa kuwa makubwa zaidi, tangu kuanza kwa maandamano hayo. Mubarak amekariri kwamba ataondoka mamlakani kwa amani ifikapo mwezi wa tisa wakati muhula wake utakapokamilika. Haya yanajiri huku makamu wa Rais wa Misri akisema kuwa taifa lake halipo tayari kwa siasa za demokrasia. Maandamano sawia na ya misri yanashika kasi katika mataifa ya Algeria na Yemen wakipinga utawala wa kimabavu kutoka kwa viongozi wa matifa hayo.
Maandamano Misri
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Understanding the link between spirituality and mental health
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- I slept with my sister's husband while she was away and can't stop thinking about it
- Six life skills your pre-teen and teen should have
- What should I do? I think my mother is cheating on my dad.
- Understanding the link between spirituality and mental health
- Living apart, parenting together: The art of co-parenting
- Myth or reality? Why women don't get along
- Ingredient of the week: Red leaf lettuce
- When the househelp exposes your child to sex
.
Popular this week
- No magic in a bottle: Supplements might help, but first, test, then trust
- Understanding the link between spirituality and mental health
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Lupita Nyong'o stars in first Chanel campaign
- Janet Ngombalu: Dedicated to making the world better
- Ways children are driving their parents crazy this holiday
- I slept with my sister's husband while she was away and can't stop thinking about it
- Celebrities who stole the show at Priscilla and Jux's wedding
- Why dads sleep with their daughters
- Kukumanga: The fertility fruit
.
Similar Articles
.