Aziri wa barabara Franklin Bett amesema mpango wa upanuzi wa barabara ya Mombasa sasa umesitishwa baada ya benki ya ulimwengu kujiondoa kutoka kwenye ufadhili wa barabara hiyo. Bett amesema sasa serikali italazimika kuanza upya mpango wa kutafuta wafadhili wapya ili kufanikisha mpango huo. Hatua hii imejiri huku mpango wa upanuzi wa barabara ya Mombasa ukizingirwa na utata huku baadhi ya wawekezaji wa kibinafsi katika barabara hiyo wakihofia kuwa huenda majengo yao yakabomolewa.
Upanuzi Wa Mombasa Road
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- List: transferred DCI officers and their posts
- Easy recipe: Chicken curry
- 'The Real Housewives of Nairobi' drama returns
- Honeymoon couple found dead in a hotel room
- She turns your dearest dreams into reality
- Don't quit: The secret to finishing strong
- Pastor Kathy Kiuna: I love myself to pieces
- Ladies, a man spends money where his heart is
- How dividing chores can ruin your sex life
- Demystifying epilepsy key to proper care
.
Popular this week
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- Remove false eyelashes at home with these hacks
- Boost immunity and skin health with Vitamin C-rich foods
- Is it me, or is everyone I date allergic to commitment?
- My new habits never stick, what am I doing wrong?
- Five factors to consider before dyeing your hair
- Easy recipe: Blueberry and strawberry cake
- Coder who turned civic frustration into global recognition
- Here is a list of married Kenyan celebrity couples that do not have kids
- List: transferred DCI officers and their posts
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.