Aziri wa barabara Franklin Bett amesema mpango wa upanuzi wa barabara ya Mombasa sasa umesitishwa baada ya benki ya ulimwengu kujiondoa kutoka kwenye ufadhili wa barabara hiyo. Bett amesema sasa serikali italazimika kuanza upya mpango wa kutafuta wafadhili wapya ili kufanikisha mpango huo. Hatua hii imejiri huku mpango wa upanuzi wa barabara ya Mombasa ukizingirwa na utata huku baadhi ya wawekezaji wa kibinafsi katika barabara hiyo wakihofia kuwa huenda majengo yao yakabomolewa.
Upanuzi Wa Mombasa Road
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Do women move on faster than men after break up?
- Cocktail bar: Nyati M-Smart
- Western produces 10 best schools in county list
- Kenya eyes new tea markets to rescue farmers from low prices
- Craving comfort? Try this chips mayai
- Easy recipe: Athola
- Health benefits of taking ukwaju
- Meet the ‘most fertile’ woman: 38-year-old who has given birth to 44 children
- Cocktail bar: Courgette Martini
- Is it me, or is everyone I date allergic to commitment?
.
Popular this week
- Could my bad habits be the reason I'm not getting any action?
- Cupid can wait: Women choosing careers first
- Craving comfort? Try this chips mayai
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- Easy recipe: Beef chuck rice combo
- How to run a communication audit on your relationship
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Keeping passion alive after 'I Do'
- Boost immunity and skin health with Vitamin C-rich foods
- Is it me, or is everyone I date allergic to commitment?
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.