×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Upanuzi Wa Mombasa Road

Living

Aziri wa barabara Franklin Bett amesema mpango wa upanuzi wa barabara ya Mombasa sasa umesitishwa baada ya benki ya ulimwengu kujiondoa kutoka kwenye ufadhili wa barabara hiyo. Bett amesema sasa serikali italazimika kuanza upya mpango wa kutafuta wafadhili wapya ili kufanikisha mpango huo. Hatua hii imejiri huku mpango wa upanuzi wa barabara ya Mombasa ukizingirwa na utata huku baadhi ya wawekezaji wa kibinafsi katika barabara hiyo wakihofia kuwa huenda majengo yao yakabomolewa.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles