×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Uwindaji Haramu

Living

Maafisaa wa  shirika la wanyama pori nchini wamemuua kwa kumpiga risasi  mshukiwa mmoja mwindaji haramu katika  mbuga ya solio ilioko laikipia mashariki.  Bwana huyo alikuwa miongoni mwa wenzake watatu wanaodaiwa kuingia kinyemela katika mbuga hiyo  jana usiku kwa nia ya kuwawinda vifaru weusi ambao kwa sasa wanasemekana wamebaki mia sita na thelathini tu katika mbuga zote nchini.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles