×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Ocampo Kuhusu Mashahidi

Living

Kiongozi wa mashataka katika mahakama ya ICC Louis Moreno Ocampo ametangaza kuwa hana nia yoyote ile ya kuwatumia mashahidi walioibuka wakidai kuhongwa ili kutoa ushahidi wa urongo. Ujumbe kutoka afisi ya Ocampo umekariri kuwa mashahidi hao hawakutoa ushahidi mbele ya afisi hiyo, na kuwa kabla ya kuwatumia mashahidi wowote wale afisi hiyo hufanya uchunguzi wa kina kuhusu shahidi yeyote yule. Vile vile Ocampo ametangaza kuwa ana habari za watu ambao wanajaribu kuwahonga au kutisha mashahidi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles