Swala la tohara kwa jamii ya waluo ni geni, lakini kulingana na wataalam wa kiafya, tohara imepokelewa vyema kwa mtazamo kwamba inapunguza uwezo wa kuambukizwa virusi vya ukimwi na maradhi mengine ya zinaa. Hata hivyo baadhi ya wazee wa jamii hiyo wanaiona kama hatua inayoangamiza mila na tamaduni yao ya zamani ambapo vijana waling'olewa meno.Ili kubaini mabadiliko hayo ya kitamaduni, migogoro inayoikumba na faida zake John Juma alizuzungumza na wazee, na kumhoji mratibu mkuu wa tohara mkoani humo, na kutuandalia taarifa ifuatayo. Hii ni katika sehemu ya kwanza makala ukale katika usasa.
Makala Ya Ukale
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Juma Jux and wife Priscilla Ojo welcome baby boy in Canada
- I have heard rumours about my husband sleeping around with other women. Should I confront him?
- Dr. Dre, Missy, Lil Wayne to be honored at pre-Grammy event
- Five health benefits of eating beetroots
- Leafy suburbs ain't really 'leafy'
- Why do I always fall in love with men who break my heart?
- The origins of Valentine's Day
- Moroccan player Boufal apologizes to Africans after saying Morocco's win is for Arabs and Moroccans
- How to style a crochet shrug for any occasion
- Why you need skincare routine: Bandari Beauty founder Maureen Bandari
.
Popular this week
- Easy recipe: Matoke in coconut sauce
- Ida Odinga: Pillar behind Raila's chequered legacy
- It usually has no symptoms and most sexually active adults will get it at some point…
- Drink responsibly, drive when sober and take precaution this Christmas
- Why maroon is the new neutral you need in your closet
- President William Ruto changes his Aide-de-Camp
- How to raise financially confident children
- Six beauty benefits of using rice water
- A smart woman's legal checklist before moving in with him
- Why do I always fall in love with men who break my heart?
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.