Swala la tohara kwa jamii ya waluo ni geni, lakini kulingana na wataalam wa kiafya, tohara imepokelewa vyema kwa mtazamo kwamba inapunguza uwezo wa kuambukizwa virusi vya ukimwi na maradhi mengine ya zinaa. Hata hivyo baadhi ya wazee wa jamii hiyo wanaiona kama hatua inayoangamiza mila na tamaduni yao ya zamani ambapo vijana waling'olewa meno.Ili kubaini mabadiliko hayo ya kitamaduni, migogoro inayoikumba na faida zake John Juma alizuzungumza na wazee, na kumhoji mratibu mkuu wa tohara mkoani humo, na kutuandalia taarifa ifuatayo. Hii ni katika sehemu ya kwanza makala ukale katika usasa.
Makala Ya Ukale
Living
By | 13 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Easy recipe: Cheesy beef lasagna
- Like him? Then shoot your shot
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Men's irrelevance for sex, reproduction is coming at us fast
- I had sex with my husband's best friend
- Fertility myths set couples up for disappointment
- A mother's joy, pain in raising a child with cerebral palsy
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Why your man is insecure
- Defining imposter syndrome and what to do about it
.
Popular this week
- A mother's joy, pain in raising a child with cerebral palsy
- Like him? Then shoot your shot
- Easy recipe: Cheesy beef lasagna
- Thinking of getting a tattoo? These are the health risks
- Emotions have big benefits for our immune system, scientists say
- Easy to make spaghetti minced meat
- Benefits of taking mabuyu
- Fertility myths set couples up for disappointment
- Defining imposter syndrome and what to do about it
- Are women secretly attracted to 'bad boys'?
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.