×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Miradi Ya Pyramid

Living

Huenda waliowekeza katika miradi ya ubia au pyramid schemes wakaambulia patupu baada ya benki kuu ya Kenya sasa kukana madai kuwa ilisimamisha akaunti za miradi hii na kushikilia pesa zilizotapeliwa wawekezaji.Muungano wa wawekezaji hao ulipokea barua hiyo leo hii licha ya dalili hapo awali kuonyesha kuwa hatimaye serikali ingewarejeshea fedha zao. Muungano huo sasa umeapa kufanya yote wawezalo kupata pesa zao wakiwaagiza wenzao kujiandaa kwa mgomo kuishinikiza serikali kuelezea pesa hizo ziko wapi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles