×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Vijana Wataka Amani

Living

Huku siku kumi pekee zikisalia kabla ya kura ya maamuzi kufanyika,vijana wanahimizwa kudumisha amani. katika mkutano ulioandaliwa na shirika la Kenya Hope Foundation ,vijana walikutana na kubadalishana mawazo kuhusu njia za kuleta uwiano kati ya wakenya.Vilevile shirika la Kenyans for change likishirikiana na muungano wa wana bodaboda walikutana asubuhi ya leo huku ujumbe mkuu ukiwa pia haja ya wakenya kudumisha amani wakati huu ambapo huenda taharuki zikapaa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles