×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Bajeti Ya Taifa

Living

Wizara ya fedha imeweka mikakati itakayohakikisha, pesa zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika bajeti, na zile za miradi ya kukwamua uchumi wa nchi kutokana na athari za mporomoko wa kiuchumi duniani, zitatumika vizuri na kwa muda uliokusudiwa. Aiyakariri haya, waziri wa fedha Uhuru Kenyatta alisikitika kuwa kiasi kikubwa cha pesa zilizotolewa katika bajeti ya ziada mwaka huu, zitarejeshwa kwa wizara ya fedha kwa makadirio ya bajeti ya mwaka ujao kwa kuwa pesa zenyewe hazijatumika kikamilifu.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles