×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Pirates Resume Attacks

Living

Uharamia baharini hasa katika ghuba ya eden unahofiwa kurejea kwa kishindo huku visa kadhaa vikiripotiwa majuma machache yaliyopita. Hayo yakijiri wadau katika huduma za safari za meli wanasema hali hiyo ni tishio kubwa kwa biashara ya kimataifa na uchumi wa mataifa yanayokua hasa Afrika mashariki. Hata hivyo habari njema ni kwamba meli iliyoshambuliwa na maharamia katika jaribio la kuiteka nyara iliwasili salama katika bandari ya mombasa jana.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles