×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Mzozo Transmara

Living
Hali ya wasiwasi na taharuki imetanda katika wilaya ya transmara ya masahariki baada ya jamii mbili kuvurugana. Taarifa zinaarifu kuwa jamii hizo zimejihami kwa silaha aina ya bunduki, huku utawala ukishindwa kutatua uhasama baina yao. zaidi ya watu mia nane wamepoteza makazi yao kutokana na vurugu hizo,baada nyumba zao kuteketezwa.inadaiwa wachochezi wakuu wa uhasama huo ni viongozi wa kisiasa maeneo hayo,wakizozania rasilmali za eneo hilo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles