×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Afya Yako: Diabetes

Living
Wiki jana ulimwengu uliadhimisha siku ya kisukari,ugonjwa unaotambulika kunyemelea watu kutoka tabaka mbalimbali matajiri na maskini kwa pamoja. Ni ugonjwa unaoweza kudhibitiwa na hata kuzuiliwa iwapo unakuwa mwangalifu katika lishe na mazoezi ya kila mara. Uognjwa wa kisukari almaarufu diabetes huenda ukasababisha kupotea kwa nguvu za macho au hata kukatwa viungo vya mwili kwa hivyo ni vyema mtu apate kupimwa mara kwa mara. Mwanahabari wetu carol nderi anatupasha mengi katika makala yetu ya afya yako.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles