Wiki jana ulimwengu uliadhimisha siku ya kisukari,ugonjwa unaotambulika kunyemelea watu kutoka tabaka mbalimbali matajiri na maskini kwa pamoja. Ni ugonjwa unaoweza kudhibitiwa na hata kuzuiliwa iwapo unakuwa mwangalifu katika lishe na mazoezi ya kila mara. Uognjwa wa kisukari almaarufu diabetes huenda ukasababisha kupotea kwa nguvu za macho au hata kukatwa viungo vya mwili kwa hivyo ni vyema mtu apate kupimwa mara kwa mara. Mwanahabari wetu carol nderi anatupasha mengi katika makala yetu ya afya yako.
Afya Yako: Diabetes
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Style your kaftan for every occasion like a pro
- With polls done, you can as well kiss State subsidies goodbye
- Focus turns to Supreme Court judges as parties close their submissions
- From childhood dream to travelling across 88 countries and counting
- Surprising ways stress unsettles your gut health
- Mpango wa kando make men better husbands
- I married my campus lover: Flight attendant's sky-high success story
- Chiromo, the 160-year old house protected by mystic powers
- How my wife and her ‘mpango’ planned to kill me
- Why teenage behaviour may be a response to unmet needs
.
Popular this week
- Easy recipe: Spicy mango chilli with chamoy
- Style your kaftan for every occasion like a pro
- Deselfing: The angry dance of intimacy
- Easy recipe: Time for Swahili T-bone pilau
- Why marriage may not be for you
- Is dating someone at work really as risky as everyone says?
- He won't say he's upset but I can feel it, why?
- NTSA and NGO launch campaign to end sexual harassment in matatus
- From childhood dream to travelling across 88 countries and counting
- Reigniting the spark in your relationship
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.