×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Masaibu Ya Kurutu

Living

Maafisa wa kijeshi mjini Eldoret wanadaiwa kuhusika na ufisadi baada ya kumchuja msichana mmoja kutoka Baringo hata baada ya kuajiriwa na serikali kama mwanajeshi kwa madai ya kuwa mja mzito. Ajabu ni kwamba madaktari watatu wa serikali wamedhibitisha kuwa msichana huyo si mja mzito, na hata maafisa katika kambi ya makurutu wa jeshi kukiri kweli dada huyo si mja mzito, hata hivyo dada huyo alipoomba kurejeshwa kambini aendelee na mafunzo, alielezwa nafasi yake kesha chukuliwa na kurutu mwingine na kumshauri ajaribu mwaka ujao.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles