×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Usalama Wa Taifa

Living

Serikali ya uingereza kupitia waziri wake wa masuala ya Afrika Henry Bellingham imesema kuwa iko tayari kusaidia umoja wa Afrika kupiga vita kundi haramu la

Al-shabab nchini Somalia. Aidha uingereza imesema kuwa huu ni wakati muafaka wa kukabiliana na wanamngambo hao ambao ni tishio kwa usalama wa kila mtu duniani.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles