Serikali ya uingereza kupitia waziri wake wa masuala ya Afrika Henry Bellingham imesema kuwa iko tayari kusaidia umoja wa Afrika kupiga vita kundi haramu la
Al-shabab nchini Somalia. Aidha uingereza imesema kuwa huu ni wakati muafaka wa kukabiliana na wanamngambo hao ambao ni tishio kwa usalama wa kila mtu duniani.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.