×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Maporomoko Ya Ardhi Mlima Elgon

Living

Watu wawili wamefariki katika eneo la mlima Elgon na wengine watano kulazwa katika hospitali ya Bungoma kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyoathiri wakaazi wa tarafa ya Cheptais usiku wa kuamkia leo. Kwa mujibu wa shirika la msalaba mwekundu na utawala wa mkoa wa magharibi,familia themanini tayari zimehamishwa na inatarajiwa watu zaidi wataondoka kutoka maeneo hayo ili kuepukana na hatari zaidi ya maporomoko.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles