×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Gharama Ya Mafuriko

Living

Huku mafuriko yakizidi kuhangaisha wakenya katika maeneo mbalimbali humu nchini, sasa waziri mkuu Raila Odinga amesema wizara ya barabara itahitaji pesa zaidi kukarabati barabara, kwa kuwa uharibifu mkubwa wa miundo misingi unazidi kuripotiwa kila uchao. Wizara hiyo ilikuwa imetengewa shilingi bilioni mbili za kukarabati barabara kati ya Januari na Februari lakini uharibifu mkubwa unazidi kushuhudiwa kadri mvua inavyozidi kunyesha.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles