×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Jinsi Sonko alivyo toroka jela akiwa amevaa buibui

Gavana Mike Sonko.

Ama kwa hakika waliosema kuwa “pesa zilivunja mlima”, kweli hawakuwa na mzaha wa maana hiyo. Na tamaa nayo, pia wahenga walisema ilimpasua “fisi” msamba!

Mfanyabiashara anayedai kuwa mlalamishi wa kesi iliyomtorosha Gavana wa Nairobi Mike Sonko Mbuvi kutoka jela ya Shimo la Tewa mnamo mwaka 1998, amerejea tena mahakama kuu ya Mombasa kuwasilisha kesi mpya kudai alipwe zaidi ya shilingi milioni 10 anazodai kulaghaiwa miaka 21 iliyopita.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902