×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now

Jinsi Sonko alivyo toroka jela akiwa amevaa buibui

Gavana Mike Sonko.

Ama kwa hakika waliosema kuwa “pesa zilivunja mlima”, kweli hawakuwa na mzaha wa maana hiyo. Na tamaa nayo, pia wahenga walisema ilimpasua “fisi” msamba!

Mfanyabiashara anayedai kuwa mlalamishi wa kesi iliyomtorosha Gavana wa Nairobi Mike Sonko Mbuvi kutoka jela ya Shimo la Tewa mnamo mwaka 1998, amerejea tena mahakama kuu ya Mombasa kuwasilisha kesi mpya kudai alipwe zaidi ya shilingi milioni 10 anazodai kulaghaiwa miaka 21 iliyopita.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in