The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Gari lililozama katika kivuko cha ferry cha Likoni.
Miaka nenda miaka rudi, kivuko cha Likoni Ferry kimekuwa kikifanyiziwa tambiko maalum na Wazee wa Kidigo ambao wamekuwa na jadi zao za kimila kwamba pepo wa bahari lazima kufanyiwa karamu yao kwa kuchinjwa ng’ombe mwakani na kutupwa ndani ya bahari hindi.
Kulingana na wazee hawa, tambiko la kumwaga damu baharini hususani katika kivuko cha Likoni ni kuepuka majanga ya maafa ama ajali za kufa maji ambazo wahenga huamini kuwa endapo matambiko ya aina hiyo hazitekelezwi kwa wakati ufaao, pepo hao wa baharini huja kama nuksi kusababisha ajali ya aidha gari kuzama na watu baharini au mtu kujirusha majini bila simule.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.