Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Gavana Sang akana madai ya kukamatwa Jijini Kisum.

Gavana wa Nandi, Stephen Sang amekana madai ya kutiwa nguvuni na hata kuzuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Kondele jijini Kisumu.

Akiwahutubia wanahabari muda mfupi uliopita nje ya ofisi yake, Gavana Sang amesema hatua yake ya kuwaongoza wakazi kung'oa miti ya zao la majani chai kwenye shamba linalomilikiwa na kampuni moja ya kimataifa kwenye eneo la Kibwari haijakiuka sheria. Amesema Tume ya Ardhi, NLC kwa ushirikiano na mahakama ilitoa agizo kwamba ardhi inalozaniwa kwenye kaunti hiyo kurejeshewa umma.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Governor Sang