×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Mtalaa wa Umilisi, CBC kukumbwa na changamoto zaidi

Mtalaa wa Umilisi, CBC unatarajiwa kukumbwa na changamoto hata zaidi baada ya walimu wakuu wa shule za upili kudai kwamba hawajahusishwa katika utekelezaji wake.

Akizungumza wakati wa Kongamano la 44 la Walimu Wakuu linaloendelea jijini Mombasa, Mwenyekiti wa Muungano wa Walimu Wakuu wa Shule za Upili, KESSHA Kahi Indimuli amesema walimu katika shule za upili hawana ufahamu kuhusu mtalaa huo mpya. Indimuli amesema serikali inapaswa kutoa mwanga wa iwapo mtalaa huo utatekelezwa katika shule za msingi pekee au hata upili.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics