Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Eneo la Kisauni linaoongoza katika ukusanyaji wa saini 200, 000 zinazolenga kuvunja bunge la Kaunti ya Mombasa

Kufikia sasa Eneo Bunge la Kisauni ndilo linaoongoza kwenye shughuli ya ukusanyaji wa saini 200, 000 kwenye maeneo bunge yote sita ya Kaunti ya Mombasa zinazolenga kulifanikisha lengo la kulivunja bunge la Kaunti hiyo.

Takwimu ya Vuguvugu kwa jina Oparesheni Fagia Bunge ambalo linaendeleza shughuli hiyo zinaonesha kwamba kufikia sasa jumla ya saini 10, 537 zimekusanywa eneo la Kisauni, likifuatwa na Mvita ambako jumla ya saini 10, 081 zimekusanywa, kisha Likoni ambako saini 9, 452 zimekusanwa, Nyali saini 8, 193, Changamwe saini 8, 059 na hatimaye Jomvu saini 4, 636 zimekusanywa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics