The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kufikia sasa Eneo Bunge la Kisauni ndilo linaoongoza kwenye shughuli ya ukusanyaji wa saini 200, 000 kwenye maeneo bunge yote sita ya Kaunti ya Mombasa zinazolenga kulifanikisha lengo la kulivunja bunge la Kaunti hiyo.
Takwimu ya Vuguvugu kwa jina Oparesheni Fagia Bunge ambalo linaendeleza shughuli hiyo zinaonesha kwamba kufikia sasa jumla ya saini 10, 537 zimekusanywa eneo la Kisauni, likifuatwa na Mvita ambako jumla ya saini 10, 081 zimekusanywa, kisha Likoni ambako saini 9, 452 zimekusanwa, Nyali saini 8, 193, Changamwe saini 8, 059 na hatimaye Jomvu saini 4, 636 zimekusanywa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.