×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Joho amnusuru Dori, Aisha apewa talaka

Wabunge wa Pwani Suleiman Dori (Msambweni), Aisha Jumwa (Malindi) na Mohammed Ali (Nyali) walipokuwa wakihutubia wanahabari. [Picha: Standard]

Baada ya kugundua kwamba majuto ni mjukuu, mbunge wa Msambweni alikuwa amefika mwisho wa ngamani za kisiasa pale alipoambiwa kwamba pamoja na mwenzake mbunge wa Malindi, wataonyeshwa cha mtema kuni wakati wa kikao cha uamuzi wa wajumbe wa chama cha ODM luiofanywa  mnamo Machi ya tarehe 1.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in