Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mkenya ataka kuongolewa kwa Moses Kuria kwenye kamati inayojadili suala la IEBC

Huku mchakato wa kutafuta suluhu kuhusu utata ambao umekuwa ukiizingira Tume ya Uchaguzi nchini IEBC ukiendelea, mwanaharakati mmoja amewasilisha kesi mahakamani akitaka kuondolewa kwa Seneta Johnstone Muthama, Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria na mwenzake wa Suna Mashariki Junet Mohamed kwenye kamati ya pamoja ya Jubilee na CORD.
Mwanaharakati huyo, Henry Kioko amesema watatu hao wanakabiliwa na kesi mahakamani kuhusu madai ya uchochezi hivyo hawastahili kuhudumu kwenye kamati hiyo inayotarajiwa kutoa mwelekeo kuhusu hatma ya makamishna tisa wa IEBC.
Vilevile amesema tajriba ya watatu hao ni ya kutiliwa shaka. Viongozi hao ni miongoni mwa wanane ambao walikamatwa wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kutoa matamshi ya uchochezi.

Na, Beatrice Maganga,

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics