The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Huku mchakato wa kutafuta suluhu kuhusu utata ambao umekuwa ukiizingira Tume ya Uchaguzi nchini IEBC ukiendelea, mwanaharakati mmoja amewasilisha kesi mahakamani akitaka kuondolewa kwa Seneta Johnstone Muthama, Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria na mwenzake wa Suna Mashariki Junet Mohamed kwenye kamati ya pamoja ya Jubilee na CORD.
Mwanaharakati huyo, Henry Kioko amesema watatu hao wanakabiliwa na kesi mahakamani kuhusu madai ya uchochezi hivyo hawastahili kuhudumu kwenye kamati hiyo inayotarajiwa kutoa mwelekeo kuhusu hatma ya makamishna tisa wa IEBC.
Vilevile amesema tajriba ya watatu hao ni ya kutiliwa shaka. Viongozi hao ni miongoni mwa wanane ambao walikamatwa wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kutoa matamshi ya uchochezi.
Na, Beatrice Maganga,
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.