The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Benki za humu nchini zimepoteza katika jitihada zao za kuzuia kudhibitiwa kwa viwango vya riba vinavyotozwa wanaochukua mikopo, baada ya Rais Uhuru Kenyatta kusaini kuwa sheria Mswada wa Marekebisho wa Benki wa mwaka 2015. Hatua hiyo inazizuia benki kuongeza riba zinazotozwa mikopo kuwa zaidi ya asilimia nne ya riba iliyoratibiwa na Benki Kuu. Huku Benki Kuu ikiwa katika asilimia 10.5, benki sasa haziwezi kutoza riba ya zaidi ya asilimia 14.5 kwa mikopo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.