The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
President Uhuru Kenyatta has a word with Governor Hassan Joho during the launch of the Port Reitz/ Moi International Airport Access road in Mombasa County
Yeyote azuiae riziki ya mwenzake kwa misingi ya kibepari, kabila ni hayawani mkubwa asiyestahili heshima.
Majuzi nikitazama runinga niliona vilio vya zaidi ya wafanyakazi mia tano wakililia haki zao za ajira baada ya kampuni mbili zinazohusishwa na familia ya Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho kufungwa ghafla na mtu fulani. Sitaki kusema serikali ilihussika, lakini ni wazi kuwa aliyetoa maamuzi hayo alikuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa — kumbuka mtu huyu alikataa kufuata maamuzi ya mahakama iliyoamuru kampuni hizo mbili za Autoports Freight handlers limited na Portside kufunguliwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.