Abducted Fishermen's family plea - Kisw

Jamaa za wavuvi saba wanaoendelea kuzuiliwa na jeshi la muungano wa afrika( amison ) nchini somalia sasa zimeisihi serikali kuingilia kati ili wapendwa wao waachiliwe huru.wavuvi hao waliokuwa wakivua katika eneo la pemba wanasemekana kujipata nchini humo baada ya dau lao kuharibika na kusombwa na mawimbi hadi nchini Somalia.