Kisa Changu Podcast: Mahangaiko ya wanasiasa wanawake wenye ulemavu; Sehemu ya 1
Published Aug. 04, 2022
00:00
00:00

Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Machakos Rose Museo ana ulemavu. Museo aliyepata ulamavu huo ulemavu kufuatia ajali mwaka 2007 anasema changamoto hiyo haikumzuia kufanikisha ndoto yake ya kuwa kiongozi. Rose Mukonyo amezungumza naye anafafanua zaidi huku akiwashauri wanawake wengine wenye ulemavu kwamba wanaweza.