×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu sita wafariki dunia katika eneo la Sachangwan

Watu sita wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa baada ya matatu iliyokuwa ikitoka mjini Eldoret kupoteza mwelekeo na kubiringirika kwenye eneo hatari la Sachangwan Barabara Kuu ya Nakuru-Eldoret.

Kamanda wa Polisi wa Molo Mwenda Muthamia, amesema kuwa wanawake wanne na mwanamume mmoja wamefariki dunia papo hapo huku abiria wengine wanane wakijeruhiwa jana usiku. Majeruhiwa wanatibiwa katika Hospitali ya Molo

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in