The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wanakandarasi wa Uchina waliojenga Barabara kuu ya Thika, bado wanadai serikali ya Kenya shilingi milioni 428.6.
Kulingana na Mkaguzi Mkuu wa Serikali, Nancy Gathungu, Hazina ya kitaifa bado haijafuta mswada ambao haujakamilika na pia ameonya kwamba ikiwa serikali itashindwa kufanya hivyo basi walipaushuru ndio watakabiliwa na adhabu zaidi.
Gathungu amesema ukaguzi uliofanywa kwa Mamlaka ya Kitaifa ya Barabara Kuu ya Kenya (KENHA) ulifichua kiasi kamili cha shilingi 428, 623, 554 kufikia Juni 30, 2021.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.