Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mfanyabiashara, Jimi Wanjigi aachiliwa huru kufuatia agizo la mahakama

Mfanyabiashara, Jimi Wanjigi ameachiliwa huru baada ya kukesha katika seli za Kituo cha Polisi cha Kamkunji kufuatia kukamatwa kwake siku ya Jumanne katika ofisi zake za Kwacha eneo la Westlands jijini Nairobi.

Wanjigi ameachiliwa kufuatia agizo la Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Milimani, Bernard Ochoi baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kwamba kulikuwa na agizo lililotolewa jana la kuzuia kukamatwa kwake. Afisa wa mashtaka, Eveline Onuga amesema kwamba amezidurusu stakabadhi za agizo la kutokamatwa kwa Wanjigi na kubaini zilikuwa halali.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Wanjigi DCI