The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mfanyabiashara, Jimi Wanjigi ameachiliwa huru baada ya kukesha katika seli za Kituo cha Polisi cha Kamkunji kufuatia kukamatwa kwake siku ya Jumanne katika ofisi zake za Kwacha eneo la Westlands jijini Nairobi.
Wanjigi ameachiliwa kufuatia agizo la Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Milimani, Bernard Ochoi baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kwamba kulikuwa na agizo lililotolewa jana la kuzuia kukamatwa kwake. Afisa wa mashtaka, Eveline Onuga amesema kwamba amezidurusu stakabadhi za agizo la kutokamatwa kwa Wanjigi na kubaini zilikuwa halali.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.