The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kukamilika kwa mchakato wa kumwidhinisha rasmi Jaji Mkuu mteule, Jaji David Maraga, baadhi ya wakazi wa Eneo Bunge la Ainamoi wameandaa hoja mbili wanazotarajia kuwasilisha katika Bunge la Kitaifa, kupinga uteuzi huo. Hoja hizo zimetayarishwa na Emmanuel Korir anayelenga kuwania kiti cha ubunge na mwandani wa Mbunge wa Ainamoi, Benjamin Langat, Tom Biegon.
Wawili hao wanapinga uteuzi wa Maraga kwa misingi ya uamuzi wa kesi aliyotoa mwaka 2008 ambapo alipunguza mashtaka ya Andrew Omwenga kutoka yale ya mauaji hadi mashata ya kuua bila kukusudia, kwa tuhuma za kumuua aliyekuwa Mbunge wa Ainamoi, David Kimtanui Too. Wanasema uamuzi huo ulipingwa na kesi hiyo ingali katika Mahakama ya Rufaa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.