Mkurugenzi Mkuu Chama cha Azimio la Umoja One Kenya Raphael Tuju amevunja kimya chake kuhusu madai yaliyoibuliwa katika hati kiapo ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC Wafula Chebukati kwenye rufaa ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais.
Katika kikao na wanabari, Tuju ambaye amekiri kukutana na Chebukati amejitetea akisema walikutana naye akiwa na watu wengine na hivyo madai ya kuwa alilenga kushawishi matokeo ya uchaguzi ni uongo.
Tuju ambaye anasema alijaribu zaidi ya mara tatu kumwona Chebukati, alifanya hivyo baada ya kufahamishwa kuhusu kufutwa kwa fomu za 34A kwenye mtandao wa IEBC na kutundikwa kwa fomu nyingine katika wavuti huo, madai ambayo Tuju anasema aliyawasilisha kwa Idara ya Upelezi DCI. Aidha Tuju anasema jamaa aliyemfahamaisha alikuwa mfanyakazi wa IEBC ambaye alitishiwa na Afisa Mkuu Mtendaji wa IEBC Marjan Hussein Marjan, alipojaribu kumfahamisha kuhusu kubadilishwa kwa fomu hizo.
Facts First
This story continues on The Standard INSiDER. Subscribe now for unfiltered journalism that holds power to account.
Already have an account? Login
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.