Katibu Mkuu wa Chama cha UDA, Veronica Maina amesisitiza kwamba Kenya Kwanza itafanya mkutano wake tarehe 6 Agosti katika Uwanja wa Michezo wa Nyayo, akipinga kupokonywa leseni ya kuendesha mkutano siku hiyo. Kwa mujibu wa Maina, tayari Kenya Kwanza imelipia uwanja huo na hawatakubali kubatilishwa.
Ijumaa wiki hii Kamati ya Kampeni za Ruto iliwasilisha kesi mahakamani kupinga hatua ya Idara ya Michezo kusema kwamba uwanja huo utatumika kwa mikutano ya amani.
Hayo yanajiri huku Muungano huku muungano huo ukiwateua Brian Mbugua na Anthony Mwaura kuelekea Ugiriki kushuhudia uchapishaji wa karatasi za kupigia kura.
Facts First
This story continues on The Standard INSiDER. Subscribe now for unfiltered journalism that holds power to account.
Already have an account? Login
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.