Na, Beatrice Maganga Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani Mabalozi wa mataifa ya kigeni wanaohudumu humu nchini wametoa wito wa kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu huru na wa haki humu nchini. Wajumbe hao wametoa wito huo wakati walipofanya kikao na Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya nchi, Fred Matiang'i. Akiwahutubia wanahabari baada ya kikao hicho, Matiang'i amesema miongoni mwa yaliojadiliwa katika kikao hicho ni kuhusu namna maafisa wa usalama wanashirikiana na Tume ya Uchaguzi, IEBC ili kufanikisha uchaguzi mkuu huru na wa haki. Matiang'i amesema ni jukumu la IEBC kuandaa uchaguzi huku maafisa wa usalama wakihusishwa katika kuipa usaidizi IEBC kutekeleza jukumu lake la kikatiba. Wajumbe hao wametoa wito kwa serikali kuipa tume hiyo raslimali za kutosha ili kufanikisha maandalizi ya uchaguzi. Kikao hicho kimejiri wakati ambapo baadhi ya mataifa yametoa ilani kwa raia wake wanaoishi humu nchini kuwa waangalifu wakati huu wa uchaguzi. Mataifa ya Uingereza na Urusi ni miongoni mwa yale ambayo tayari yametoa ilani kwa raia wake.
Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Hair accessories that save a messy hair day
- How tasty is your chapati?
- Hair accessories that save a messy hair day
- How to deal with sibling rivalry
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- Is your marriage on autopilot? Time to grab the controls!
- Have you outgrown your friendships? Recognize the signs and navigate the change
- Make him chase you, but don’t keep him waiting
- Why men prefer dating petite women
- The missing link between education and career
.
Popular this week
- Ten Kenyan women who defined 2025
- How tasty is your chapati?
- Setting intimacy intentions for the New Year
- Easy recipe: Beef gosht with brown chapatis
- Hair accessories that save a messy hair day
- Is your marriage on autopilot? Time to grab the controls!
- It broke down so fast, Burale opens up on his divorce
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Games as exercise: Hopscotch
- Three disgusting things that happen in your belly button
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.