Na, Beatrice Maganga Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani Mabalozi wa mataifa ya kigeni wanaohudumu humu nchini wametoa wito wa kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu huru na wa haki humu nchini. Wajumbe hao wametoa wito huo wakati walipofanya kikao na Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya nchi, Fred Matiang'i. Akiwahutubia wanahabari baada ya kikao hicho, Matiang'i amesema miongoni mwa yaliojadiliwa katika kikao hicho ni kuhusu namna maafisa wa usalama wanashirikiana na Tume ya Uchaguzi, IEBC ili kufanikisha uchaguzi mkuu huru na wa haki. Matiang'i amesema ni jukumu la IEBC kuandaa uchaguzi huku maafisa wa usalama wakihusishwa katika kuipa usaidizi IEBC kutekeleza jukumu lake la kikatiba. Wajumbe hao wametoa wito kwa serikali kuipa tume hiyo raslimali za kutosha ili kufanikisha maandalizi ya uchaguzi. Kikao hicho kimejiri wakati ambapo baadhi ya mataifa yametoa ilani kwa raia wake wanaoishi humu nchini kuwa waangalifu wakati huu wa uchaguzi. Mataifa ya Uingereza na Urusi ni miongoni mwa yale ambayo tayari yametoa ilani kwa raia wake.
Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Office politics no one warns you about
- How to tame the Nairobi bad boy
- Prepare, impress and stand out for that job interview
- I wrecked my sister's marriage because I was attracted to her husband, now I feel terrible
- Make 2026 the year of balanced, preventive and sustainable health
- Easy recipe: Boneless tikka with veggies salad
- Honda Vezel: Why is it so expensive?
- Drinking milk for breakfast cuts the risk of obesity and diabetes
- Intimacy after pregnancy: Why she withdraws when you get suggestive in the bedroom
- Recognising high-functioning depression in everyday life
.
Popular this week
- Body of actress Naya Rivera found six days after she went missing in lake
- Why Kenyan women easily fall for liars!
- Office politics no one warns you about
- Why you need to keep your nails short during this COVID-19 pandemic
- Break free from the grip of panic attacks and their triggers
- Ways parents can help children set New Year resolutions
- 13 top tips on dating a Kenyan girl
- Women making big moves in the film industry
- Depression is killing young men
- Why walking around pantyless is just fine
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.