Na, Beatrice Maganga Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani Mabalozi wa mataifa ya kigeni wanaohudumu humu nchini wametoa wito wa kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu huru na wa haki humu nchini. Wajumbe hao wametoa wito huo wakati walipofanya kikao na Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya nchi, Fred Matiang'i. Akiwahutubia wanahabari baada ya kikao hicho, Matiang'i amesema miongoni mwa yaliojadiliwa katika kikao hicho ni kuhusu namna maafisa wa usalama wanashirikiana na Tume ya Uchaguzi, IEBC ili kufanikisha uchaguzi mkuu huru na wa haki. Matiang'i amesema ni jukumu la IEBC kuandaa uchaguzi huku maafisa wa usalama wakihusishwa katika kuipa usaidizi IEBC kutekeleza jukumu lake la kikatiba. Wajumbe hao wametoa wito kwa serikali kuipa tume hiyo raslimali za kutosha ili kufanikisha maandalizi ya uchaguzi. Kikao hicho kimejiri wakati ambapo baadhi ya mataifa yametoa ilani kwa raia wake wanaoishi humu nchini kuwa waangalifu wakati huu wa uchaguzi. Mataifa ya Uingereza na Urusi ni miongoni mwa yale ambayo tayari yametoa ilani kwa raia wake.
Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Head games: Cornrow magic
- Significant arousal? The smell of this mushroom will stimulate a woman to orgasm
- Airstrip to open up western Kenya's rich tourism circuit
- How the right innerwear size can transform comfort and confidence
- A$AP Rocky's fearless fashion ignites debate
- Love is just a click away
- Motherhood in slums: Story of single mum raising three teenage daughters in Kibra
- Recipe: Simple vegetable curry
- Why Uhuru camp cops can’t have sex in peace
- Easy recipe: Lamb with sweet pepper hummus
.
Popular this week
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- What it takes for multiple founders to succeed together
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- How the right innerwear size can transform comfort and confidence
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- Why you should start a kitchen garden and how to do it
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- MPs demand end to delocalisation of teachers
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.