Na, Beatrice Maganga Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani Mabalozi wa mataifa ya kigeni wanaohudumu humu nchini wametoa wito wa kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu huru na wa haki humu nchini. Wajumbe hao wametoa wito huo wakati walipofanya kikao na Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya nchi, Fred Matiang'i. Akiwahutubia wanahabari baada ya kikao hicho, Matiang'i amesema miongoni mwa yaliojadiliwa katika kikao hicho ni kuhusu namna maafisa wa usalama wanashirikiana na Tume ya Uchaguzi, IEBC ili kufanikisha uchaguzi mkuu huru na wa haki. Matiang'i amesema ni jukumu la IEBC kuandaa uchaguzi huku maafisa wa usalama wakihusishwa katika kuipa usaidizi IEBC kutekeleza jukumu lake la kikatiba. Wajumbe hao wametoa wito kwa serikali kuipa tume hiyo raslimali za kutosha ili kufanikisha maandalizi ya uchaguzi. Kikao hicho kimejiri wakati ambapo baadhi ya mataifa yametoa ilani kwa raia wake wanaoishi humu nchini kuwa waangalifu wakati huu wa uchaguzi. Mataifa ya Uingereza na Urusi ni miongoni mwa yale ambayo tayari yametoa ilani kwa raia wake.
Mabalozi wahimiza kuandaliwa kwa uchaguzi wa amani
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- What it takes for multiple founders to succeed together
- Five tips of handling stress in a relationship
- Cocktail bar: The Garibaldi
- KPA teams off to Kericho for games
- Former Cabinet Minister Dr Zachary Onyonyoka’s now bushy dream
- New dawn for Saccos as regulator assures on member savings safety
.
Popular this week
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- What it takes for multiple founders to succeed together
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Being your own boss:City residents turn to home based business for survival
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.