Na,Hassan Ali
Beki wa Liverpool Mamadou Sakho mwenye umri wa miaka 26 ameondolewa lawama za utumizi wa dawa za kusisimua misuli baada ya Chama cha kupambana nadawa hizo WADA kuachia mbali kukata rufaa ya shirikisho la soka barani Ulaya, UEFA, lililosema kuwa mchezaji huyo hakutumia dawa hizo.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.