×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Busia fire tragedy - Swahili

Living

Watu wanne wamefariki na wengine 45 wanauguza majeraha ya moto siku kumi tu baada ya ule mkasa wa sinai. Maafa hayo yalitokea eneo la matayos, busia pale waathiriwa hao walipokuwa wakichota mafuta kutoka kwenye trela moja la kusafirisha mafuta lililokuwa likielekea uganda lilipopoteza mwelekeo. Inadaiwa kuwa trela hilo lilishika moto baada ya dereva wa trela wa hilo kujaribu kuchomoa nyaya zake za betri.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles