Makala Maalum: Wanawake Mateka wa Pombe pt.1
Living
By | Jun. 5, 2011 | 1 Min read
Katika siku za hivi maajuzi inaelekea kuwa wanawake wanakunywa tembo zaidi kuliko wanaume . Na inaelekea kuwa sababu za tabia hii kuongezeka miongoni mwa wanawake ni kutibuka kwa ndoa ukosefu wa ajira au hata uchovu wa kiakili stress . Katika makala ya sehemu ya kwanza ya wanawake mateka wa pombe tunaangazia maisha ya wanawake wawili anne mathu na elsie otachi ambao walitekwa na pombe kiasi cha kupoteza maisha yao . Wawili hawa wanatupa taswira ya maisha yao na uhusiano wao na pombe ambao ulikuwa kama mtu na kivuli chake anne ngugi anatueleza
.
Trending Now
- I've got crazy bedroom fantasies, is that weird?
- What you need to know before marrying an older man
- 10 ways parents are keeping children in check during school holidays
- Gloria Muliro speaks one year after New York wedding
- Dr. Peninah Kitilili: Deals with skin, babies and STDs
- Sugarcane: The sweet stalk of nature
- Bush Babes; Conquering the unforgiving terrain for conservation
- When he leaves you pregnant.
- Am I dating wrong?
- I never let the 'curse' of being born out of wedlock cloud my dreams
.
Popular this week
- I've got crazy bedroom fantasies, is that weird?
- I've got crazy bedroom fantasies, is that weird?
- Sugarcane: The sweet stalk of nature
- What you need to know before marrying an older man
- Am I dating wrong?
- My money is my money, your money is our money
- Bush Babes; Conquering the unforgiving terrain for conservation
- Concern as 248 children aged 10-19 infected with HIV every week
- Spoil him silly this holiday
- Why women thrive on compliments
.
Similar Articles
.