Katika siku za hivi maajuzi inaelekea kuwa wanawake wanakunywa tembo zaidi kuliko wanaume . Na inaelekea kuwa sababu za tabia hii kuongezeka miongoni mwa wanawake ni kutibuka kwa ndoa ukosefu wa ajira au hata uchovu wa kiakili stress . Katika makala ya sehemu ya kwanza ya wanawake mateka wa pombe tunaangazia maisha ya wanawake wawili anne mathu na elsie otachi ambao walitekwa na pombe kiasi cha kupoteza maisha yao . Wawili hawa wanatupa taswira ya maisha yao na uhusiano wao na pombe ambao ulikuwa kama mtu na kivuli chake anne ngugi anatueleza
Makala Maalum: Wanawake Mateka wa Pombe pt.1
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Top women in film
- Of shady men who beg for nude pictures from women
- Radio Maisha commands the airwaves
- Recipes around Africa: Kelewele from Ghana
- Realistic wellness routines that fit your busy life
- Trends: Five shoes you should own today
- Why divorce will be frequently common in my generation
- Woman on the move: Wanjiru Njiru's winning ways
- Seven habits of people who make friends easily
- Five ways you can keep your long distance relationship alive
.
Popular this week
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- What the colour of your urine means
- Tips for potty training your little one
- Realistic wellness routines that fit your busy life
- When friendships change: Trust, loss and letting go
- Why structure is your child's greatest security
- Top women who made headlines in 2018
- Why did I get the 'ick' after our first kiss?
- #FashionTips: How to dress in a chiffon top
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.