Katika siku za hivi maajuzi inaelekea kuwa wanawake wanakunywa tembo zaidi kuliko wanaume . Na inaelekea kuwa sababu za tabia hii kuongezeka miongoni mwa wanawake ni kutibuka kwa ndoa ukosefu wa ajira au hata uchovu wa kiakili stress . Katika makala ya sehemu ya kwanza ya wanawake mateka wa pombe tunaangazia maisha ya wanawake wawili anne mathu na elsie otachi ambao walitekwa na pombe kiasi cha kupoteza maisha yao . Wawili hawa wanatupa taswira ya maisha yao na uhusiano wao na pombe ambao ulikuwa kama mtu na kivuli chake anne ngugi anatueleza
Makala Maalum: Wanawake Mateka wa Pombe pt.1
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Sarah Hassan wins Entertainer of the Year at Forbes Woman Awards 2025
- Seizure triggers: All about the Photosensitive Epilepsy
- Six luxury travel tips on a budget
- The truth about 'pilling' the fat
- A life woven into the history of a nation
- #MCM: Sean Andrew, stealing our hearts with his killer smile
- Murugi Munyi: How I made money before landing a stable job
- Cheating couples’ lunchtime sex on the rise in Nairobi
- Seeking money to fund a wedding is an insult
.
Popular this week
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- What the colour of your urine means
- Realistic wellness routines that fit your busy life
- When friendships change: Trust, loss and letting go
- Tips for potty training your little one
- Why structure is your child's greatest security
- Top women who made headlines in 2018
- Why did I get the 'ick' after our first kiss?
- #FashionTips: How to dress in a chiffon top
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.