Wataalam wanasema hatua ya kuwateua maafisa wakuu katika idara ya mahakama inahitaji uwazi zaidi ili kupata uungwaji mkono mkubwa miongoni mwa wakenya. Wataalam hao pia wanagusia kuwa huenda ile kesi inayowakabili washukiwa sita wa machafuko ya baada ya katika mahakama ya ICC ilichangia katika uteuzi huo.Munira Muhammad anaripoti kuwa iwapo Rais Kibaki na waziri mkuu Raila Odinga walijadiliana au la kuhusiana na uteuzi huo, tayari mzozo huo umeibua taharuki na pia kurejesha nyuma gurudumu la mageuzi katika idara ya mahakama ambayo wakenya wamepigania kwa muda wa miaka mingi.
Njia Ni Ipi
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How to remove unwanted facial hair
- Nairobi MCAs direct Sakaja to lift ban on closure of night clubs
- Effects of Rhesus factor in an unborn kid
- From pubic hair to strange smells - Doctors explain what's actually normal 'down there'
- How to eat beans without gas or bloating
- Wambui Kamiru: The pillar during Bob Collymore’s last days
- How to survive the post-holiday slump
- How to help a friend who is struggling financially
- Trevor Ombija trolled for his 'solution' to noise pollution in estates
- Mochama’s steps to life with his mentor Prof Mikhail Lossel
.
Popular this week
- What your smartphone says about you
- How to survive the post-holiday slump
- Can a man say no? Men and their right to consent
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Sperm donation safety: What you must know before choosing a donor
- To quit or not to quit: Signs you are ready for a career move
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Craving comfort? Try this chips mayai
- Lizz Ntonjira on career growth and development
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.