×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Njia Ni Ipi

Living

Wataalam wanasema hatua ya kuwateua maafisa wakuu katika idara ya mahakama inahitaji uwazi zaidi ili kupata uungwaji mkono mkubwa miongoni mwa wakenya. Wataalam hao pia wanagusia kuwa huenda ile kesi inayowakabili washukiwa sita wa machafuko ya baada ya katika mahakama ya ICC ilichangia katika uteuzi huo.Munira Muhammad anaripoti kuwa iwapo Rais Kibaki na waziri mkuu Raila Odinga walijadiliana au la kuhusiana na uteuzi huo, tayari mzozo huo umeibua taharuki na pia kurejesha nyuma gurudumu la mageuzi katika idara ya mahakama ambayo wakenya wamepigania kwa muda wa miaka mingi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles