Wataalam wanasema hatua ya kuwateua maafisa wakuu katika idara ya mahakama inahitaji uwazi zaidi ili kupata uungwaji mkono mkubwa miongoni mwa wakenya. Wataalam hao pia wanagusia kuwa huenda ile kesi inayowakabili washukiwa sita wa machafuko ya baada ya katika mahakama ya ICC ilichangia katika uteuzi huo.Munira Muhammad anaripoti kuwa iwapo Rais Kibaki na waziri mkuu Raila Odinga walijadiliana au la kuhusiana na uteuzi huo, tayari mzozo huo umeibua taharuki na pia kurejesha nyuma gurudumu la mageuzi katika idara ya mahakama ambayo wakenya wamepigania kwa muda wa miaka mingi.
Njia Ni Ipi
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Warning: Fake bling can kill you
- Sexual vampires? Tale of jinxed devastatingly beautiful Kikuyu women whose husbands die mysteriously
- How fish secured my future
- How to make tasty, flavored potato crisps at home
- Alarming rate of suicide among Kenyan students, what could be the problem?
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- The REAL reason you're still not married: US author's six theories and what you can do about them
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Meet Lucia Musau, PR guru with sharp fashion sense and body to die for
- Pastors beg court to suspend referendum
.
Popular this week
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Aiming for healthy weight gain?
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Stop 'dumping' your kids in shags
- Can a marriage thrive without sharing feelings?
- Clip-in hair extensions
- Improving your health with simple food swaps
- Outrage at teacher's comment on boy's maths homework
- How you can put on weight naturally
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.