Wataalam wanasema hatua ya kuwateua maafisa wakuu katika idara ya mahakama inahitaji uwazi zaidi ili kupata uungwaji mkono mkubwa miongoni mwa wakenya. Wataalam hao pia wanagusia kuwa huenda ile kesi inayowakabili washukiwa sita wa machafuko ya baada ya katika mahakama ya ICC ilichangia katika uteuzi huo.Munira Muhammad anaripoti kuwa iwapo Rais Kibaki na waziri mkuu Raila Odinga walijadiliana au la kuhusiana na uteuzi huo, tayari mzozo huo umeibua taharuki na pia kurejesha nyuma gurudumu la mageuzi katika idara ya mahakama ambayo wakenya wamepigania kwa muda wa miaka mingi.
Njia Ni Ipi
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- Confessions: My girlfriend asked me to sleep with her twin sister and I don't know what to do
- Risper Faith: I underwent liposuction but my bum is real
- Fun DIY projects with your child
- Hidden cost of deception you might miss
- 10 signs you are in a toxic relationship
- Samburu West MP Naisula Lesuuda ties knot in lavish wedding
- Ida Odinga: Pillar behind Raila's chequered legacy
- Learn more about breast cancer, get screened
- Men, an expensive dinner treat does not guarantee you sex
.
Popular this week
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Aiming for healthy weight gain?
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Confessions: My girlfriend asked me to sleep with her twin sister and I don't know what to do
- Woman with the largest breasts in the world looking for love
- Fun DIY projects with your child
- Ida Odinga: Pillar behind Raila's chequered legacy
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.