×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Mtandao Wa WikiLeak

Living

Huku dunia nzima ikisalia na mshangao kufuatia ufichuzi wa mazungumzo ya serikali ya marekani na balozi zake duniani, balozi wa Marekani Michael Ranebarger amekariri kuwa mawasiliano kati ya katibu wa Marekani kuhusu maswala ya bara Afrika Johnny Carson na waziri mkuu Raila Odinga yalikuwa tu kutayarisha nchi ya Kenya kwa stakabathi hizo wala hayakuwa ya kuomba msamaha kinyume na madai ya msemaji wa serikali Alfred Mutua. Rannerberger hata hivyo amekiri kuwa marekani inajuta sana kuhusu sakata hii ya wiki leaks.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles