×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Katiba Mpya Kuhusu Ufisadi

Living

Kuidhinishwa kwa katiba mpya sasa kunaonekana kuwatia wengi tumbo joto haswa viongozi wanaodaiwa kujihusisha na maswala ya ufisadi huku mkono mrefu wa sheria ukiwafuata unyo unyo. Sheria ambayo sasa imepelekea viongozi wetu kujikuta kizimbani hivi majuzi na hata wengine kukabiliwa na kamati za bunge kuhusu madai ya ufisadi kutoka wizara mbali mbali. Je sheria hizi mpya zinasema nini kuhusu maadili ya wafanyikazi wa umma?

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles