Katika juhudi zao za kutatua mahitaji ya nguvu za umeme yanayozidi kuongezeka, huku wakiwa na ufahamu tosha kuhsuu hatma yao ya kuwa hawana umeme kutoka mtandao wa kitaifa, wakaazi wa kijiji cha kathuna katika eneo la kieni kule Nyeri; mashariki mwa mlima Kenya, wameamua kuzalisha nguvu za umeme kutokana na tufani ambayo kwa kawaida hutawala eneo hilo kila uchao .hii leo katika sehemu ya kwanza ya makala ya kawi ya upepo, ripota wetu zawadi mudibo anaangazia maisha ya mwanakijiji mmoja asiye na nguvu za umeme bomani mwake ili kuelezea ni nini hasa kilichopelekea uvumbuzi huu wa kinyumbani wa mtambo wa kuzalisha kawi ya upepo.
Kawi Ya Upepo 1
Living
By | 13 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How to live your best life and age in good health
- Nutritional benefits of chia seeds
- Here's what's causing your dry, cracked heels
- Help! I am always falling for married men
- I'm into him, but he does not notice me
- 40 is a critical peak, either you take off or it is a free fall
- Should I convert to Islam just so I can marry her?
- Easy recipe: Rib-eye steak
- Easy recipe: Rib-eye steak
- Wellness: Is online therapy worth it?
.
Popular this week
- How to live your best life and age in good health
- Easy recipe: Rib-eye steak
- 40 is a critical peak, either you take off or it is a free fall
- Nutritional benefits of chia seeds
- Benefits of chewing gum
- Dating then was very different from what it is now
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Benefits of taking peaches
- Here's what's causing your dry, cracked heels
- Do you need to shower every day?
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.