×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kawi Ya Upepo 1

Living

Katika juhudi zao za kutatua mahitaji ya nguvu za umeme yanayozidi kuongezeka, huku wakiwa na ufahamu tosha kuhsuu hatma yao ya kuwa hawana umeme  kutoka mtandao wa kitaifa, wakaazi wa kijiji cha kathuna katika eneo la kieni kule Nyeri; mashariki mwa mlima Kenya, wameamua kuzalisha nguvu za umeme kutokana na tufani ambayo kwa kawaida hutawala eneo hilo kila uchao .hii  leo katika sehemu ya kwanza  ya makala ya kawi ya upepo, ripota wetu zawadi mudibo anaangazia maisha ya mwanakijiji mmoja asiye na nguvu za umeme bomani mwake ili  kuelezea ni nini hasa kilichopelekea uvumbuzi huu wa kinyumbani wa mtambo wa kuzalisha kawi ya upepo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles