Katika juhudi zao za kutatua mahitaji ya nguvu za umeme yanayozidi kuongezeka, huku wakiwa na ufahamu tosha kuhsuu hatma yao ya kuwa hawana umeme kutoka mtandao wa kitaifa, wakaazi wa kijiji cha kathuna katika eneo la kieni kule Nyeri; mashariki mwa mlima Kenya, wameamua kuzalisha nguvu za umeme kutokana na tufani ambayo kwa kawaida hutawala eneo hilo kila uchao .hii leo katika sehemu ya kwanza ya makala ya kawi ya upepo, ripota wetu zawadi mudibo anaangazia maisha ya mwanakijiji mmoja asiye na nguvu za umeme bomani mwake ili kuelezea ni nini hasa kilichopelekea uvumbuzi huu wa kinyumbani wa mtambo wa kuzalisha kawi ya upepo.
Kawi Ya Upepo 1
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- 12 signs the man you dating is definitely a jerk
- Keeping passion alive after 'I Do'
- I didn’t let my poor grades hold me back
- Black tax trap: When family obligation leads to emotional and financial burnout
- Backbone of the family: Celebrating modern stay-at-home mothers
- Easy recipe: Cheesy meatballs with garlic bread
- My faith kept me going: The moving story of singer ‘Kiatu Kivue’ singer Anastacia Mukabwa
- How to eat beans without gas or bloating
- Five health benefits of apple peels
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
.
Popular this week
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- 12 signs the man you dating is definitely a jerk
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Men, stop bragging: Here are 9 signs you're terrible in bed
- Why do I always fall in love with men who break my heart?
- Wellness: Why you should consider getting off social media
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
- How to raise financially confident children
- Is the heart truly innocent in love, or does it all come from the brain?
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.