×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Usajili Wa Simu

Living

Taarifa kuhusu visa vya uhalifu uliokithiri nchini kutokana na matumizi mabaya ya simu za rununu huenda sasa vikapungua kufuatia kuzinduliwa rasmi kwa shughuli ya kuzisajili laini zote za simu. Serikali sasa imeamuru kuwa wenye simu za rununu kote nchini wanahitajika kuzisajili nambari zao za simu kufikia mwishoni mwa mwezi ujao. Katibu mkuu katika wizara ya mawasiliano Bitange Ndemo aliongezea kuwa, itakuwa rahisi kwa maafisa wa usalama kukabili uhalifu kote nchini iwapo laini zote za simu zitasajiliwa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles