Taarifa kuhusu visa vya uhalifu uliokithiri nchini kutokana na matumizi mabaya ya simu za rununu huenda sasa vikapungua kufuatia kuzinduliwa rasmi kwa shughuli ya kuzisajili laini zote za simu. Serikali sasa imeamuru kuwa wenye simu za rununu kote nchini wanahitajika kuzisajili nambari zao za simu kufikia mwishoni mwa mwezi ujao. Katibu mkuu katika wizara ya mawasiliano Bitange Ndemo aliongezea kuwa, itakuwa rahisi kwa maafisa wa usalama kukabili uhalifu kote nchini iwapo laini zote za simu zitasajiliwa.
Usajili Wa Simu
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Octopus meat: Revered delicacy said to cure impotence
- Will this baby bring us together or push him away?
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Healthy eating steps for those with arthritis
- Four simple steps to take care of your terrazzo floor
- Married boss murdered his secret lover after she told his wife about their affair
- MKU opens new chapter with tamper-proof system
- Forty and searching: Finding love again with children
- Living on her own terms: Price women pay for ambition
- Suffering from eczema? Soda ash could be the solution
.
Popular this week
- Why do I always fall in love with men who break my heart?
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- How to raise financially confident children
- Cocktail bar: Creamy Rhubarb and custard delight
- Will this baby bring us together or push him away?
- 12 signs the man you dating is definitely a jerk
- Living on her own terms: Price women pay for ambition
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.