×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Wizi Wa Transfoma

Living

Hata baada ya kuweka transfoma thelathini katika maeneo tofauti jijini Nairobi  hapo jana ili kukabiliana na tatizo la ukosefu wa nguvu za umeme kwa wateja wake, kampuni ya kusambaza nguvu za umeme nchini KPLC imeripoti kuharibiwa kwa transfoma kumi usiku wa kuamkia leo. Yadaiwa uharibifu huo unatokana na tamaa ya wafanyibiashara walaghai wanaoiba mafuta yapatikanayo kwenye mitambo hiyo na kuwauzia wenye magari kwa bei duni.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles