×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Rasimu Ya Katiba

Living

Rais na makamu wake hii leo walitofautiana hadharani kuhusiana na msimamo wa serikali kuhusu katiba, hii ni baada ya makamu wa rasi kusema kudai kuwa muda wa kuifanyia rasimu marekebisho bado upo. Rais kwa upande wake alisema hamna kurudi nyuma tena na msimamo wa serikali kuiunga mkono rasimu utasalia. Rais aliwataka wakenya kuikubali rasimu akisisitiza kuwa katiba haiwezi kutosheleza kikamilifu matakwa ya kila mtu. Alisema nafasi ya kuifanyia marekebisho katiba itakuwepo pindi itakapopitishwa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles