Masikitiko makuu yanazidi kuikumba sekta ya maziwa baada ya wafugaji kushindwa kupata mnunuzi. Licha ya ushauri kwa serikali kutafuta mbinu za kupunguza uharibifu wakulima katika eneo la ol-kalau walilazimika kumwaga lita elfu kumi za maziwa katika kituo kimoja cha kukusanya maziwa cha ol-kalau huko Nyahururu. Hatua hiyo ilichukuliwa baada ya kampuni za maziwa kukosa kufika kuyachukua maziwa hayo kama ilivyo kawaida. Je, serikali imekuwa kipofu kwa hali hii kwenye sekta ya kilimo? au inasubiri kufungua macho tena wakati kiangazi kitakapoingia ili iombe msaada wa chakula baada ya kutizama maziwa yakienda hasara.
Milk Crisis In Olkalau
Living
By | 16 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Easy recipe: Cheesy meatballs with garlic bread
- Hard truth about business funding no one tells entrepreneurs
- I'm worried my kids are heading down the wrong path
- Five interesting reasons why you shouldn’t be wearing bras
- Secret to better skin? Knowing what it needs day and night
- How to regain control after emotional triggers at work
- How to make time for your friends
- Uhuru, Margaret Kenyatta visit late Magoha's family Photos
- Meet Miss England 2019 working as a doctor to help fight the coronavirus pandemic
- A letter from Navakholo, Kakamega's famous town
.
Popular this week
- How to regain control after emotional triggers at work
- Hard truth about business funding no one tells entrepreneurs
- A letter from Navakholo, Kakamega's famous town
- Four important things to do while on your period
- Why hip dips won't go away no matter how much you exercise
- Fan exposes Kinder Egg secret - and it has blown people's minds
- Shiv weds Shikie: Fitness guru and popular Youtuber say ‘I do’
- The nailing wonder truth
- Sharing the wellness experience
- How to locate and make your star shine
.
Similar Articles
.
Latest Articles
Relationships
By Chris Hart
Jun. 20, 2026
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.