Masikitiko makuu yanazidi kuikumba sekta ya maziwa baada ya wafugaji kushindwa kupata mnunuzi. Licha ya ushauri kwa serikali kutafuta mbinu za kupunguza uharibifu wakulima katika eneo la ol-kalau walilazimika kumwaga lita elfu kumi za maziwa katika kituo kimoja cha kukusanya maziwa cha ol-kalau huko Nyahururu. Hatua hiyo ilichukuliwa baada ya kampuni za maziwa kukosa kufika kuyachukua maziwa hayo kama ilivyo kawaida. Je, serikali imekuwa kipofu kwa hali hii kwenye sekta ya kilimo? au inasubiri kufungua macho tena wakati kiangazi kitakapoingia ili iombe msaada wa chakula baada ya kutizama maziwa yakienda hasara.
Milk Crisis In Olkalau
Living
By | 16 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- CBC pioneer learners join Junior Secondary School amid confusion
- What you need to know before marrying an older man
- Three-minute microwave mug cake recipe
- Is celebrated gospel artist Mary Atieno facing domestic negligence from her husband?
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Daddy-daughter date ideas you should try
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Why men fear accomplished and successful ladies
- Woman caught making explicit movies in church claims others' sins are far worse
- Is celebrated gospel artist Mary Atieno facing domestic negligence from her husband?
.
Popular this week
- Is celebrated gospel artist Mary Atieno facing domestic negligence from her husband?
- How do I leave a man who thinks everything is fine?
- Make your sweater the star of the show this season
- I married my campus lover: Flight attendant's sky-high success story
- Easy recipe: Swahili fried vermicelli
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- Digital infidelity: Rise of virtual cheating
- What can you take from hotel rooms? The do's and don'ts explained
- Men only: Here’s what happened 25 years ago
- Cocktail bar: Kifaru mtamu
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.