×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Milk Oversupply

Living

Huku hatua ya kupanda kwa uzalishaji wa maziwa nchini ikizidi kutatiza wakulima wanaolazimika kuyamwaga maziwa yao kutokana na kampuni za maziwa kutoweza kumudu kiwango hicho cha maziwa, maswali yanayoibuka ni je,mbona serikali inashindwa kumudu hali hii ilhali ina uwezo wa kuyahifadhi maziwa hayo. Wataalam wa sera za kilimo wanasema serikali inafaa kubuni sera nzuri na mipango thabiti ya kukabiliana na mazao mengi hasa baada ya mvua nyingi kushuhudiwa.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles