×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Sudan: Mizingile part 2

Living
Siku chache kabla ya taifa jipya la Sudan kuanza rasmi kujitawala,waasi wamegeuka na kuwa tisho jipya kwa taifa ambalo limepigana kwa zaidi ya miaka 21. Taifa hilo limeathiriwa kiasi cha kwamba baadhi ya majimbo yametekwa nyara kabisa na waasi waliojitenga na jeshi la SPLA linalodaiwa kuwa jeshi linalotawaliwa katika misingi ya ukabila likisemekana kumilikiwa na kabila la dinka ,ambalo ni kabila la rais .changamoto kubwa iliopo sasa ni jinsi ya kupunguza idadi yao na kuhakikisha kwamba hatawatojiunga na waasi misituni.mwanahabari wetu Purity Mwambia ambaye alizuru nchini Sudan ametuandalia sehemu yetu ya pili ya makala ya mizingile ya utawala na kufichua sura za waasi Sudan

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles