Siku chache kabla ya taifa jipya la Sudan kuanza rasmi kujitawala,waasi wamegeuka na kuwa tisho jipya kwa taifa ambalo limepigana kwa zaidi ya miaka 21. Taifa hilo limeathiriwa kiasi cha kwamba baadhi ya majimbo yametekwa nyara kabisa na waasi waliojitenga na jeshi la SPLA linalodaiwa kuwa jeshi linalotawaliwa katika misingi ya ukabila likisemekana kumilikiwa na kabila la dinka ,ambalo ni kabila la rais .changamoto kubwa iliopo sasa ni jinsi ya kupunguza idadi yao na kuhakikisha kwamba hatawatojiunga na waasi misituni.mwanahabari wetu Purity Mwambia ambaye alizuru nchini Sudan ametuandalia sehemu yetu ya pili ya makala ya mizingile ya utawala na kufichua sura za waasi Sudan
Sudan: Mizingile part 2
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Silence is golden: Why quiet beats white noise for better sleep
- Let political rage and disunity end with 2022
- Dr Lindah Muthoni: The influencer with a PhD
- Kenya Power appoints three new women to its board
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
- Silence is golden: Why quiet beats white noise for better sleep
- Silence is golden: Why quiet beats white noise for better sleep
- How to eat your way to a flat tummy
- Meet Damaris Too-Kimondo, the director at event organising company Shrand Promotions
- Can a relationship survive opposite money habits?
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Silence is golden: Why quiet beats white noise for better sleep
- Black tax trap: When family obligation leads to emotional and financial burnout
- Cocktail bar: Creamy Rhubarb and custard delight
- From denial to rebrand: Ten ways Kenyans survive online scandals
- Confessions: I gave my neighbour’s teenage daughter more than a lift to town
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
- Ruth Ambogo speaks after Fadhili Wilkins expose
- Why seasonal romance trends trigger real pain
- Guide to staying cool when the sun is at its peak
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.