Sudan: Mizingile part 2
Living
By | Jun. 23, 2011 | 1 Min read
Siku chache kabla ya taifa jipya la Sudan kuanza rasmi kujitawala,waasi wamegeuka na kuwa tisho jipya kwa taifa ambalo limepigana kwa zaidi ya miaka 21. Taifa hilo limeathiriwa kiasi cha kwamba baadhi ya majimbo yametekwa nyara kabisa na waasi waliojitenga na jeshi la SPLA linalodaiwa kuwa jeshi linalotawaliwa katika misingi ya ukabila likisemekana kumilikiwa na kabila la dinka ,ambalo ni kabila la rais .changamoto kubwa iliopo sasa ni jinsi ya kupunguza idadi yao na kuhakikisha kwamba hatawatojiunga na waasi misituni.mwanahabari wetu Purity Mwambia ambaye alizuru nchini Sudan ametuandalia sehemu yetu ya pili ya makala ya mizingile ya utawala na kufichua sura za waasi Sudan
.
Trending Now
- Are you unknowingly sabotaging your love life?
- I tease my boyfriend a lot, is it okay?
- Burnout: Ways you can avoid it
- Note to pregnant women: Eat more omena and avocado
- Why you need skincare routine: Bandari Beauty founder Maureen Bandari
- The Real Housewives of Lagos returns for second season
- How to pack a carry-on bag like a pro
- Popular tattoos and their meanings
- Success comes with commitment
- Revealed: This is why Luo men rush to marry Kikuyu women
.
Popular this week
- How to pack a carry-on bag like a pro
- How to pack a carry-on bag like a pro
- Are you unknowingly sabotaging your love life?
- Easy recipe: Kienyeji spring turkey soup
- Burnout: Ways you can avoid it
- Weird phobias you didn't know about
- The tragedy of teen motherhood
- Why teens take part in social media challenges
- The Real Housewives of Lagos returns for second season
- Five ways you can save money on food
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.