Siku chache kabla ya taifa jipya la Sudan kuanza rasmi kujitawala,waasi wamegeuka na kuwa tisho jipya kwa taifa ambalo limepigana kwa zaidi ya miaka 21. Taifa hilo limeathiriwa kiasi cha kwamba baadhi ya majimbo yametekwa nyara kabisa na waasi waliojitenga na jeshi la SPLA linalodaiwa kuwa jeshi linalotawaliwa katika misingi ya ukabila likisemekana kumilikiwa na kabila la dinka ,ambalo ni kabila la rais .changamoto kubwa iliopo sasa ni jinsi ya kupunguza idadi yao na kuhakikisha kwamba hatawatojiunga na waasi misituni.mwanahabari wetu Purity Mwambia ambaye alizuru nchini Sudan ametuandalia sehemu yetu ya pili ya makala ya mizingile ya utawala na kufichua sura za waasi Sudan
Sudan: Mizingile part 2
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Can diapers cause infertility in boys?
- Mombasa governor-elect Abdulswamad Nassir reveals his weight loss secret
- I got intimate with my step-dad and it's killing me
- Why are Kenyan men ashamed of their wives
- What should I never compromise in love?
- Colic: What every mum must know
- Cajetan Boy: Boy, do I love what I do!
- How to know she will say no: When is the right time to propose?
- The last words of Kyrzayda Rodriguez, famous fashion blogger who succumbed to cancer
- I got a C in high school but here I am, a pioneer
.
Popular this week
- Strengthen your bond with matching holiday sets
- Holiday mani magic: From minimal chic to festive drama
- Why setting boundaries this festive season matters
- Easy recipe: Homemade pizza
- Office party dos and don'ts: Keep it classy
- Easy recipe: Kenyan festive beef stew
- We stopped flirting after we got married, can we fix that?
- Just Charlene: The President's daughter charting own path
- Want to eat raw fruits and vegetables? These measures will keep you safe
- Family holiday traditions that shape children
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.