×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Gavana amuonya Moses Kuria dhidi ya cheche za matusi

Gavana wa Kajiado Dkt David Nkedianye amemsuta mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria na kumtaja kama asiye na maadili yanawafaa viongozi wenye nembo ya ‘mheshimiwa’.

Akizungumza kwenye mahojiano Jumatano asubuhi katika Radio Maisha, Nkedianye amesema kwa wakati mmoja mbunge huyo alitusi viongozi katika eneo la Isinya na kumtaka akome tabia hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in