×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Mazungumzo baina ya Azimio na Kenya Kwanza yaanza rasmi

Mirengo ya Kenya Kwanza na Azimio imekosa kuelewana kuhusu kujumuishwa kwa Mbunge wa Eldas Aden Keynan kwenye kamati ya mazangumzo yasiyokuwa na miegemeo Bipartisan kuhusu masuala yaliyoibuliwa na Azimio.

Aidha licha ya kutoafikiana kuhusu suala hilo, mirengo hiyo miwili imeafikiana kwamba mazungumzo hayo yaendelee wakati ambapo suala hilo linashughulikiwa na viongozi wa mirengo hiyo Rais William Ruto na Raila Odinga.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in