×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Mazungumzo baina ya Azimio na Kenya Kwanza yaanza rasmi

Mirengo ya Kenya Kwanza na Azimio imekosa kuelewana kuhusu kujumuishwa kwa Mbunge wa Eldas Aden Keynan kwenye kamati ya mazangumzo yasiyokuwa na miegemeo Bipartisan kuhusu masuala yaliyoibuliwa na Azimio.

Aidha licha ya kutoafikiana kuhusu suala hilo, mirengo hiyo miwili imeafikiana kwamba mazungumzo hayo yaendelee wakati ambapo suala hilo linashughulikiwa na viongozi wa mirengo hiyo Rais William Ruto na Raila Odinga.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in