The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wanafunzi wawili ni miongoni mwa washukiwa watatu wa ulanguzi wa dawa za kuelvya ambao wamekamatwa. Wawili hao Chris Odhiambo, mwenye umri wa miaka ishirini na miwili na Raymond Mwilo mwenye umri wa miaka ishirini ,walikamatwa wakiwa wanaelekea hapa jijini Nairobi.
Kulingana na Idara ya Upelelezi DCI walikuwa wamejifungia dawa hizo kwenye migongo ili wasipatikane na polisi. Watendelea kuzuiliwa hadi kesho watakapofikishw amahakamani.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.