Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Wanafunzi wawili ni miongoni mwa washukiwa watatu wa ulanguzi wa dawa za kuelvya

Wanafunzi wawili ni miongoni mwa washukiwa watatu wa ulanguzi wa dawa za kuelvya ambao wamekamatwa. Wawili hao Chris Odhiambo, mwenye umri wa miaka ishirini na miwili na Raymond Mwilo mwenye umri wa miaka ishirini ,walikamatwa wakiwa wanaelekea hapa jijini Nairobi.

Kulingana na Idara ya Upelelezi DCI walikuwa wamejifungia dawa hizo kwenye migongo ili wasipatikane na polisi. Watendelea kuzuiliwa hadi kesho watakapofikishw amahakamani.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics