The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Shida ya Musalia Mudamba Mudavadi (MMM) ni moja tu: ni kisu cha mgema ambacho, baada ya kunyanyuliwa juu minazini kileleni, huishia kutupwa sakafuni bandani kungoja ya kesho.
Maneno yake msumari kwenye siasa, lakini hana undovu wa James Orengo, unyati wa Martin Shikuku na usimba wa Karisa Maitha.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.